forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
531 B
Markdown
16 lines
531 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
|
||
|
|
||
|
# Laana hizi zote zitakujia juu yako na kukuandama na kukupita hadi utakapoangamizwa.
|
||
|
|
||
|
Musa aelezea laana kama mtu ambaye angewavamia kwa mshutuko au kuwakimbiza na kuwashika.
|
||
|
|
||
|
# sauti ya Yahwe Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "sauti ya Yahwe" ni maneno kwa kile Yahwe alisema.
|
||
|
|
||
|
# amri na maagizo yake
|
||
|
|
||
|
Maneno "amri" na "maagizo" ni ya kujirudiarudia mara mbili mbili kwa "yote yale Yahwe amekuamuru kufanya."
|