forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
501 B
Markdown
20 lines
501 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
|
||
|
|
||
|
# matunda ya mwili wako, katika matunda ya ng'ombe zako, katika matunda ya ardhi yako
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "pmaoja na watoto, wanyama, na mazao"
|
||
|
|
||
|
# ghala lake la mbinguni
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza juu ya mawingu ambayo mvua huanguka kama walikuwa ni jengo ambao anatunzia mvua.
|
||
|
|
||
|
# kwa mkono wa kulia
|
||
|
|
||
|
"wakati mazao uhitaji"
|
||
|
|
||
|
# kazi zote za mikono yako
|
||
|
|
||
|
Neno "mkono" ni neno badala la mtu mzima.
|