forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
313 B
Markdown
12 lines
313 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema.
|
||
|
|
||
|
# Alaaniwe mwanamume
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe amlaani mtu"
|
||
|
|
||
|
# binti wa baba yake, au binti wa mama yake
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana mwanamume hatakiwi kulala na dada yake, hata kama ana mama au baba tofauti.
|