forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
365 B
Markdown
12 lines
365 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachopaswa kusema.
|
||
|
|
||
|
# Alaaniwe mwanamume
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe na alaani mwanamume"
|
||
|
|
||
|
# anayetoa alama ya ardhi ya jirani yake
|
||
|
|
||
|
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "ambaye anachukua ardhi kutoka kwa jirani yake kwa kutoa alama za mipaka ya ardhi yake"
|