sw_tn/deu/26/06.md

20 lines
732 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya Jumla:
Hii inaendeleza kile Muisraeli anapswa kulema anapoleta mazao yake ya kwanza kwa Yahwe.
# walitutendea vibaya na kututesa
Misemo hii miwili kimsingi inasema kitu kimoja. Inasisitiza ya kwamba Wamisri walitenda kwa ukatili sana.
# walitutendea
Hapa "walitutendea" ina maana ya watu wa Israeli ambao walikuwa wakiishi Misri. Mwandishi anajijumuisha mwenyewe kama mmoja wa watu hata kama aliishi Misri au la.
# akasikia sauti yetu
Hapa "sauti" ina maana ya mtu mzima na kilio au maombi yake. "alisikia vilio vyetu" au "alisikia maombi yetu"
# mateso yetu, kazi zetu na mateso yetu
"ya kwamba Wamisri walikuwa wakitutesa, ya kwamba tulikuwa tukifanya kazi ngumu sana, na kwamba Wamisri walikuwa wakitutesa"