forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
732 B
Markdown
20 lines
732 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii inaendeleza kile Muisraeli anapswa kulema anapoleta mazao yake ya kwanza kwa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# walitutendea vibaya na kututesa
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili kimsingi inasema kitu kimoja. Inasisitiza ya kwamba Wamisri walitenda kwa ukatili sana.
|
||
|
|
||
|
# walitutendea
|
||
|
|
||
|
Hapa "walitutendea" ina maana ya watu wa Israeli ambao walikuwa wakiishi Misri. Mwandishi anajijumuisha mwenyewe kama mmoja wa watu hata kama aliishi Misri au la.
|
||
|
|
||
|
# akasikia sauti yetu
|
||
|
|
||
|
Hapa "sauti" ina maana ya mtu mzima na kilio au maombi yake. "alisikia vilio vyetu" au "alisikia maombi yetu"
|
||
|
|
||
|
# mateso yetu, kazi zetu na mateso yetu
|
||
|
|
||
|
"ya kwamba Wamisri walikuwa wakitutesa, ya kwamba tulikuwa tukifanya kazi ngumu sana, na kwamba Wamisri walikuwa wakitutesa"
|