forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
557 B
Markdown
20 lines
557 B
Markdown
|
# Mwanamume aliyejeruhiwa kwa kupondwa au kukatwa
|
||
|
|
||
|
"mwanamume ambaye sehemu zake za siri zimepondwa au kukatwa"
|
||
|
|
||
|
# kuingia katika kusanyiko la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "anaweza kuwa mshiriki kamili wa jamii ya Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Mwana haramu
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) mtoto aliyezaliwa kwa wazazi ambao walijamiiana kwa maharimu au kuzini au 2) mtoto aliyezaliwa kwa kahaba.
|
||
|
|
||
|
# kutoka hadi kizazi cha kumi cha uzao wake
|
||
|
|
||
|
Hii "kumi" ni nambari ya mpango ya kumi. "hata baada ya kizazi cha kumi cha vizazi vya mwana haramu"
|
||
|
|
||
|
# hakuna kati yao
|
||
|
|
||
|
"hakuna kati ya vizazi hivi"
|