forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
616 B
Markdown
24 lines
616 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# akikosea njia
|
||
|
|
||
|
"kutembea kutoka kwa mmiliki wake"
|
||
|
|
||
|
# ukajificha kwao
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "fanya kama vile hauwaoni" au "ondoka bila kutenda jambo lolote"
|
||
|
|
||
|
# Iwapo Muisraeli mwenzako hayupo karibu nawe
|
||
|
|
||
|
"Kama Muisraeli mwenzako anaishi mbali na kwako"
|
||
|
|
||
|
# au kama haumfahamu
|
||
|
|
||
|
"au kama haujui ni nani mmiliki wa mnyama ni nani"
|
||
|
|
||
|
# na lazima uwe naye mpaka pale mwenyewe atakapomtafuta
|
||
|
|
||
|
"na unapaswa kukaa na mnyama mpaka pale mmiliki atakapokuja kumtafuta"
|