forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
993 B
Markdown
36 lines
993 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# wanapaswa kuja mbele
|
||
|
|
||
|
"wanapaswa kuja bondeni"
|
||
|
|
||
|
# kwa maana Yahwe Mungu wako amewachagua wamtumikie yeye
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu makuhani ndio wao ambao Yahwe Mungu wako amewachagua kumtumikia"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# kutoa baraka kwa watu
|
||
|
|
||
|
"kubariki watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# katika jina la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa lugha nyingine "katika jina la" ina maana ya Yahwe na mamlaka yake. "kama yule asemavyo na kufanya kile Yahwe mwenyewe angesema na kufanya"
|
||
|
|
||
|
# sikiliza ushauri wao
|
||
|
|
||
|
"sikiliza kile makuhani wanachosema"
|
||
|
|
||
|
# kwa maana neno lao litakuwa hukumu
|
||
|
|
||
|
Hapa lugha nyingine "neno lao" ina maana ya kile makuhani wanachosema. "kwa sababu chochote makuhani wanchosema, huo utakuwa uamuzi wao"
|
||
|
|
||
|
# katika kila mtafaruku na ugomvi
|
||
|
|
||
|
"kila wakati watu wanapokuwa mahakamani kwa sababu ya kutokuelewana baina yao au mtu kudhuru mtu mwingine"
|