forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
817 B
Markdown
28 lines
817 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Katika miji ya watu hawa ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kama urithi
|
||
|
|
||
|
Miji ya Kaanani ambayo Yahwe anawapa watu inazungumziwa kana kwamba miji ilikuwa urithi wa watu.
|
||
|
|
||
|
# mnapaswa kutunza chochote kilicho na uhai
|
||
|
|
||
|
"hampaswi kuacha kiumbe chochote hai". Hii inaweza kuwekwa katika hali ya chanya. "Mnapaswa kuua kila kiumbe hai"
|
||
|
|
||
|
# mnapaswa kabisa kuwaangamiza
|
||
|
|
||
|
"mnapaswa kuwaangamiza kabisa makundi haya ya watu"
|
||
|
|
||
|
# Fanya hivi ili kwamba
|
||
|
|
||
|
"Yaangamize mataifa haya ili kwamba"
|
||
|
|
||
|
# kufanya katika njia za machukizo ... miungu yao
|
||
|
|
||
|
"kufanya katika njia za machukizo kama watu wa mataifa walivyofanya kwa miungu yao"
|
||
|
|
||
|
# Kama mtafanya, mtafanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu
|
||
|
|
||
|
"Kama mtafanya kama watu hawa, mtafanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu"
|