forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
596 B
Markdown
20 lines
596 B
Markdown
|
# Basi wale wanaobaki
|
||
|
|
||
|
"Wakati unapomwadhibu shahidi muongo, watu wengine "
|
||
|
|
||
|
# watasikia na kuogopa
|
||
|
|
||
|
Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. "watasikia kuhusu adhabu na kuogopa kupata adhabu"
|
||
|
|
||
|
# hawatafanya tena aina ya uovu
|
||
|
|
||
|
"kamwe tena hawatafanya uovu kama huo"
|
||
|
|
||
|
# Macho yako hayapaswi kuona huruma
|
||
|
|
||
|
Hapa "macho" urejea kwa mtu mzima. "Haupaswi kumuonea huruma" au "Haupaswi kumuonyesha huruma"
|
||
|
|
||
|
# maisha yatalipa kwa maisha... mguu kwa mguu.
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno yamefupishwa kwa sababu maana inaeleweka. Inamaanisha watu wanapaswa kumwadhibu mtu kwa njia ileile alivyo mfanyia mwingine.
|