forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
692 B
Markdown
24 lines
692 B
Markdown
|
# Nitaunua nabii kwa ajili yenu
|
||
|
|
||
|
Yahwe kuteua mtu kuwa nabii husemwa kama Yahwe angeinua mtu juu.
|
||
|
|
||
|
# kutoka miongoni mwa ndugu zenu
|
||
|
|
||
|
"kutoka miongoni wenzenu Waisraeli"
|
||
|
|
||
|
# Nitaweka maneno yangu kwenye kinywa chake
|
||
|
|
||
|
Yahwe kumwambia nabii nini cha kusema husemwa kama Yahwe angeweka maneno kwenye kinywa cha nabii.
|
||
|
|
||
|
# zungumza nao
|
||
|
|
||
|
"zungumza na watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# usisikilize maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu
|
||
|
|
||
|
Hapa "maneno" uwakilisha nini Yahwe asema. Hapa maneno "jina langu" uwakilisha Yahwe na mamlaka yake. "usimsikilize wakati azungumzapo ujumbe wangu"
|
||
|
|
||
|
# kuhitaji hivyo
|
||
|
|
||
|
"Mimi nitamshikilia kuwajibika" au "Nitamwadhibu." Hapa "yeye" urejea kwa mtu asiyemsikiliza nabii.
|