forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
668 B
Markdown
32 lines
668 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# miaka saba
|
||
|
|
||
|
"miaka 7"
|
||
|
|
||
|
# unapaswa kufuta madeni
|
||
|
|
||
|
"msamehe kila kitu ambacho watu bado wanadaiwa"
|
||
|
|
||
|
# Hii ndiyo njia ya kutolewa
|
||
|
|
||
|
"Hii ni namna ya kufuta madeni"
|
||
|
|
||
|
# mkopaji
|
||
|
|
||
|
mtu anayekopesha watu wengine fedha.
|
||
|
|
||
|
# jirani yake au ndugu yake
|
||
|
|
||
|
Maneno "jirani" na "ndugu" kushiriki maana zilezile na msisitizo wa uhusiano wa karibu ambao wana nao na Waisraeli wenzake.
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu kufuta kwa madeni ya Yahwe kumetangazwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "kwa sababu Yahwe amehitaji kwamba kufutwe madeni"
|
||
|
|
||
|
# mkono wako unapaswa kutolewa
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "unapaswa kudai tena" au " unapaswa ulipaji"
|