forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
696 B
Markdown
24 lines
696 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Mwandishi atoa sababu fupi wapi wanaisraeli walikuwa wamesafiri.
|
||
|
|
||
|
# Watu wa Israeli...nchi yenye vijito vya maji
|
||
|
|
||
|
Hii utupa taarifa ya nyuma kuhusu wapi watu wa Israeli walisafiri. Pia inagusa kifo cha asili cha Moserathi.
|
||
|
|
||
|
# Beerothi Bene Jaakani kwa Moserathi...Gudgodah...Jotbathah
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya maeneno tofauti watu wa Israeli walipita wakati wakiwa jangwani.
|
||
|
|
||
|
# Beerothi Bene Jaakan
|
||
|
|
||
|
Mtofasiri anaweza kuongeza maelezo: "Jina 'Beerothi Bene Jaakan' umaanisha "visima ambavyo vilikuwa vya watu wa Jaakan."
|
||
|
|
||
|
# huko alizikwa
|
||
|
|
||
|
Hii ina kutofasiriwa kwa kauli tendaji. "Huko ndiko walikomzika" au wanaisraeli walimzika huko"
|
||
|
|
||
|
# Eleazari
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwana wa Aaroni
|