forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
825 B
Markdown
28 lines
825 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuwakumbusha watu kuhusu kile kilichotokea huko nyuma
|
||
|
|
||
|
# Niliwasihi
|
||
|
|
||
|
Hapa "Ni" urejea kwa Musa. Hii inamaanisha alimuuliza Mungu kwa uhodari kabisa, kihisia.
|
||
|
|
||
|
# kumuonesha mtumwa wako
|
||
|
|
||
|
Hapa "mtumwa wako" ni njia ya utulivu kuzungumza kwa mwingine na mamlaka makubwa.
|
||
|
|
||
|
# mkono wako wa nguvu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mkono" umaanisha utawala au nguvu.
|
||
|
|
||
|
# kwa mungu yupi hapo...matendo?
|
||
|
|
||
|
Musa anatumia swali kusisitiza kwamba Yahwe ni Mungu pekee aliye na nguvu kufanya kazi alizozifanya. Swali hili linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "kwa kuwa hakuna mungu...matendo."
|
||
|
|
||
|
# huko mbinguni au duniani
|
||
|
|
||
|
Huku kulikothiri mara mbili kwa pamoja unamaanisha "popote."
|
||
|
|
||
|
# Ng'ambo ya Yordani
|
||
|
|
||
|
"magharibi mwa mto Yordani." Wakati Musa alizungumza haya maneno kwa Yahwe, alikuwa mashariki mwa mto Yordani huko Moabu.
|