forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
750 B
Markdown
20 lines
750 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Hii inaendeleza ujumbe wa Musa kwa mfalme Sihoni
|
||
|
|
||
|
# Utaniuzia chakula mimi kwa pesa, ili kwamba niweze kula; nipe maji kwa pesa, ili kwamba niweze kunywa.
|
||
|
|
||
|
Musa anamwambia Sihon kwamba wanaisraeli hawataiba kutoka kwa Amorite na maombi kwamba Sihon na watu wake wanauza chakula na maji kwa wanaisraeli; hawapi amri. "Nategemea kulipa kwa ajili ya chakula ili kwamba niweze kula na kulipa kwa ajili ya maji ili niweze kunywa"
|
||
|
|
||
|
# niuzie mimi...niweze kula...nime mimi...niweze kunywa
|
||
|
|
||
|
Musa anarejea kwa watu wa Israel kama walikuwa Musa mwenyewe. "Niuzie maji na watu wangu...tuweze kula...tupe...tuweze kunywa"
|
||
|
|
||
|
# pekee niruhusu nipite kwa miguu yangu
|
||
|
|
||
|
"pekee niruhusu kutembea kupitia mkono wako"
|
||
|
|
||
|
# Ar
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la eneo.
|