forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
432 B
Markdown
20 lines
432 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuzungumza na waamuzi, basi amri ni wingi.
|
||
|
|
||
|
# Hautaonesha upendeleo
|
||
|
|
||
|
"Usioneshe upendeleo"
|
||
|
|
||
|
# utasikia madogo na makubwa sawasawa
|
||
|
|
||
|
Huku kulikokithiri kuwili "madogo" na "makubwa" uwakilisha watu wote.
|
||
|
|
||
|
# Hautaogopa uso wa mtu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "uso" ni neno badala ya mtu kamili. "Hauta" ni amri. "Usimuogope yeyote"
|
||
|
|
||
|
# kwa wakati ule
|
||
|
|
||
|
Hii umaanisha wakati walipokuwa huko Horebu, katika mlima wa Sinai.
|