forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
771 B
Markdown
36 lines
771 B
Markdown
|
# Sentensi kiunganishi
|
||
|
|
||
|
Matukio katika sura hii yalitukia baada ya Waajemi kuwaangusha Wababeli na Dariuo Mmedi alianza kutawala juu ya Babeli.
|
||
|
|
||
|
# Ilimpendeza Dario
|
||
|
|
||
|
"Mfalme Dario aliamua"
|
||
|
|
||
|
# magavana wa majimbo 120
|
||
|
|
||
|
"Magavana wa majimbo wapatao mia na ishirini"
|
||
|
|
||
|
# juu yao
|
||
|
|
||
|
Neno 'wao' linawarejelea magavana 120
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba mfalme asipate hasara.
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba chochote kisiibiwe kutoka kwa mfalme"
|
||
|
|
||
|
# alipambanuliwa juu
|
||
|
|
||
|
"alifaulu juu ya " au " alikuwa na uwezo kuliko"
|
||
|
|
||
|
# likuwa na roho isiyo ya kawaida
|
||
|
|
||
|
Mahali hapa "roho" inamrejelea Danieli. Inamaanisha kuwa kile alichokuwa nacho kilikuwa si cha kawaida kwa watu. "alikuwa ni mtu wa kipekee"
|
||
|
|
||
|
# isiyo kawaida
|
||
|
|
||
|
"ya kuvutia" au "bora"
|
||
|
|
||
|
# kumweka juu ya
|
||
|
|
||
|
"kumpa mamlaka juu ya " au " kumweka kuwa masimamizi wa "
|