forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
428 B
Markdown
12 lines
428 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anafunga barua yake kwa salamu zilizoandikwa kwa mkono yake mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# Kumbuka minyororo yangu
|
||
|
|
||
|
Paulo anapozungumzia minyororo anamaanisha alipokuwa gerezani. "Nikumbukeni na kuomba kwa ajili yangu wakati nipo gerezani"
|
||
|
|
||
|
# Neema na iwe nanyi
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "neema" linasimama badala ya Mungu, ambaye huonyesha neema kwa waamini. "Naomba kwamba Bwana wetu Yesu Kristo aendelee kutoa neema kwenu nyote.
|