forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
647 B
Markdown
24 lines
647 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Amosi anatumia maswali mawili yasiyokuwa na majibu kuvuta mawazo kuwakemea hao wafuatao.
|
||
|
|
||
|
# Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba?
|
||
|
|
||
|
Inawezekana kwa farasi kukimbia juu ya mteremko wa mwamba bila kuumia. Amosi anatumia swali hili lisilokuwa na majibu kuwaonya kwa matendo yao.
|
||
|
|
||
|
# Je mtu atalima huko na ng'ome?
|
||
|
|
||
|
Mmoja hatalima juu ya mwamba. Amosi anatumia hili swali lisilokuwa na majibu kuwakemea kwa matendo yao.
|
||
|
|
||
|
# Bado mmegeuza haki kuwa sumu
|
||
|
|
||
|
"Lakini umetengeneza sheria"
|
||
|
|
||
|
# na tunda la haki kuwa uchungu
|
||
|
|
||
|
"na huwaadhibu wale wafanyao yaliyo haki"
|
||
|
|
||
|
# Lo Debari...Karnaimu
|
||
|
|
||
|
Hakuna anayejua hii miji ilikuwa wapi.
|