forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
511 B
Markdown
16 lines
511 B
Markdown
|
# bomolewa kwenye kuta za mji
|
||
|
|
||
|
Sehemu ambazo adui alizivunja chini ukuta wamji kuingia
|
||
|
|
||
|
# mtajitupa mbele ya Harmoni
|
||
|
|
||
|
"watakutupa nje kuelekea Harmoni" au "maadui zako watakulazimisha kuondoka mjini na kwenda Harmoni"
|
||
|
|
||
|
# Harmoni
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa sehemu ambayo hatuijui. Au unaweza kurejelewa mlima wa Hermoni, na baadhi ya matoleo ya kisasa yameitafsiri kwa njia hii.
|
||
|
|
||
|
# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo
|
||
|
|
||
|
Hiki kirai kimetumika kuonyesha kwamba mambo aliyoyaongelea Mungu hakika yatatokea. Bwana Mungu anasema.
|