forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
475 B
Markdown
16 lines
475 B
Markdown
|
# katilia mbali
|
||
|
|
||
|
Hapa "Katilia" inamaanisha aidha "kuharibu" au kutoa."
|
||
|
|
||
|
# yule mtu aishiye katika Ashdodi
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsri hii kumaanisha, "watu waishio katika Ashdodi." Matoleo ambayo yana "mtu" mara zote hutafsiri hii dhahiri kumaanisha mfalme.
|
||
|
|
||
|
# mtu ashikaye fimbo ya kifalme kutoka Ashkeloni
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya matoleo ya kisasa yametafsiri hii kuwa mtu mmoja anayeishi Ashdodi.
|
||
|
|
||
|
# Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni
|
||
|
|
||
|
au "nitapigana dhidi ya Ekroni"
|