sw_tn/act/24/intro.md

24 lines
618 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Matendo 24 Maelezo kwa jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na Mpangilio
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Paulo alimwambia mkuu wa mkoa kwamba hakutenda tukio aliloshtakiwa na Wayahudi na kwa hivyo asimwadhibu kwa asilotenda.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Heshima
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Viongozi wote Wayahudi (Matendo 24:2-4) na Paulo walianza kutoa hotuba zao wakitumia maneno yakudhihirisha heshima kwa mkuu wa mkoa.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Matatizo mengine katika hii tafsiri
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Viongozi wa Kiserikali
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Maneno "mkuu wa mkoa", Kamanda," na "akida" yanaweza kuwa magumu kutafsiri katika lugha nyingine.
## Links:
* __[Acts 24:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../23/intro.md) | [>>](../25/intro.md)__