sw_tn/act/23/04.md

8 lines
291 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Je, hii ni jinsi unavyo mtukana kuhani mkuu wa Mungu?
wanaume walitumia swali hili kumkemea Paul kwa nini alisema. "Usimtusi Kuhani Mkuu wa Mungu!
# Kwa maana imeandikwa
Paul ananukuu mambo ambayo Musa aliandika katika sheria. Hii inaweza kuwa: "Kwa maana Musa aliandika katika sheria"