forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
402 B
Markdown
16 lines
402 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
wazee katika Yerusalemu wakaanza kumjibu Paulo.
|
||
|
|
||
|
# ndugu
|
||
|
|
||
|
Neno "ndugu" linamaanisha waumini wenzao.
|
||
|
|
||
|
# Wameambiwa kuhusu wewe... wasifuate desturi za zamani.
|
||
|
|
||
|
Hapa baadhi ya Wayahudi walikuwa wakifuatilia kuharibu mafundisho ya Paulo aliyokuwa amawafundisha waumini wapya, ili wafuate desturi za Musa badala ya kumfuata Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Wameambiwa
|
||
|
|
||
|
"Watu waliwaambia waumini wa Kiyahudi"
|