forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
582 B
Markdown
20 lines
582 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Neno 'sisi' linamhusu Luka, Paulo na wale waliokuwa wakisafiri pamoja nao.
|
||
|
|
||
|
# tukaiacha upande wa kushoto
|
||
|
|
||
|
"Tulikipita kisiwa upande wa kushoto"
|
||
|
|
||
|
# huko ndiko meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake
|
||
|
|
||
|
Hapa "Meri" inasimama kwa nafasi ya watumishi waliokuwa wakisafiri na meri. Wafanyakazi hao wangeshusha mizigo kutoka merini.
|
||
|
|
||
|
# Wanafunzi hawa walimwambia Paulo kupitia Roho
|
||
|
|
||
|
"Waumini hawa walimwambia Paulo kile Roho Mtakatifu alikuwa amekidhihirisha kwao"
|
||
|
|
||
|
# kwamba yeye asikanyage Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Hapa "Miguu" linamaanisha Paulo mwenyewe asikanyage huko Yerusalemu.
|