forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
758 B
Markdown
24 lines
758 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia kuhusu uamuzi wake wa kwenda Yerusalemu, lakini hajaondoka Efeso bado
|
||
|
|
||
|
# Paul anakamilisha huduma katika Efeso.
|
||
|
|
||
|
Paul anakamilisha kazi ambayo Mungu alikuwa amemwagiza kuifanya katika Efeso.
|
||
|
|
||
|
# Aliamua katika roho
|
||
|
|
||
|
Inawezekana kuwa na maana ya 1) Paulo aliamua kwa msaada wa Roho Mtakatifu au 2) Paulo alikusudia kutokana na uamzi wa roho yake, ambayo inamaana alifanya uamzi wake.
|
||
|
|
||
|
# Akaya
|
||
|
|
||
|
Akaya ilikuwa Jimbo la Rumi mahali ambapo Korintho ilipokuwa. Ulikuwa ni mji kubwa kusini mwa Ugiriki na mji mkuu wa jimbo.
|
||
|
|
||
|
# Mimi lazima pia nikaone Rumi
|
||
|
|
||
|
Mimi lazima pia kusafiri kwenda Rumi
|
||
|
|
||
|
# Lakini naye akabaki kwa muda huko Asia
|
||
|
|
||
|
Ni kufanywa wazi kwa mistari michache inayofuatia kwamba Paulo alikuwa alibakia Efeso
|