forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
584 B
Markdown
24 lines
584 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwendelezo wa safari ya kimisionari ya Paulo, pamoja na Priskila na Akwila waliondoka Korintho.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Kenkrea ulikuwa ni bandari katika sehemu ya mji mkuu wa Korintho.
|
||
|
|
||
|
# Ndugu
|
||
|
|
||
|
Neno "ndugu" linamaanisha wanaume na wanawake walioamini
|
||
|
|
||
|
# kwenda Syria kwa meli pamoja na Priskila na Akila
|
||
|
|
||
|
Paulo alipanda kwenye meli iliyokuwa inaenda Syria . Priskila na Akwila walienda pamoja naye.
|
||
|
|
||
|
# Alikuwa amenyoa kichwa chake
|
||
|
|
||
|
Hii ni alama ya mfano wa tendo lililodhihirisha nadhiri kamilifu.
|
||
|
|
||
|
# kujadiliana na
|
||
|
|
||
|
" kujadiliana pamoja" au "kujadiliana"
|