forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
933 B
Markdown
36 lines
933 B
Markdown
|
# mitume, Barnaba na Paulo
|
||
|
|
||
|
Inawezekana Luka anatumia "mtume" katika hali ya ujumla ya "yule ambaye ametumwa."
|
||
|
|
||
|
# walichana nguo zao
|
||
|
|
||
|
Hili ni tendo la ishara kuonesha kuwa walihuzunishwa na kukasirishwa kwamba kundi lilitaka kuwatolea wao sadaka.
|
||
|
|
||
|
# Watu, kwa nini mnafanya hivi vitu?
|
||
|
|
||
|
Barnaba na Paulo wanawakaripia watu kwa kujaribu kuwatolea sadaka. "watu, hampaswi kutuabudu!"
|
||
|
|
||
|
# Sisi pia ni binadamu wenye hisia kama nyie
|
||
|
|
||
|
Kwa kauli hii, Baranaba na Paulo wanasema kuwa wao sio miungu. "Sisi ni binadamu tu kama nyie.. Sisi sio miungu!"
|
||
|
|
||
|
# wenye hisia sawa na nyie
|
||
|
|
||
|
"kama nyie kwa kila hali"
|
||
|
|
||
|
# mgeukieni Mungu aliye hai kutoka kwa vitu hivi visivyo na maana
|
||
|
|
||
|
"acheni kuabudu miungu ambayo haiwezi kuwasaidia, na badala yake anzeni kumuabudu Mungu aliye hai"
|
||
|
|
||
|
# Mungu aliye hai
|
||
|
|
||
|
"Mungu ambaye kweli yupo" au "Mungu anayeishi"
|
||
|
|
||
|
# Siku za nyuma
|
||
|
|
||
|
"katika nyakati za zamani" au "Hadi sasa"
|
||
|
|
||
|
# kutembea katika
|
||
|
|
||
|
"kuishi kulingana na"
|