forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
642 B
Markdown
24 lines
642 B
Markdown
|
# Roho Mtakatifu akawajaza wote
|
||
|
|
||
|
Neno "Kuwajaza" maana yake ni kutokea ghafla. "Roho Mtakatifu ghafla alishuka".
|
||
|
|
||
|
# wote waliokuwa wakisikiliza
|
||
|
|
||
|
Neno "wote" linaelezea kuwa; "Wamataifa ndani ya nyumba waliokuwa wakimsikiliza Petro".
|
||
|
|
||
|
# Watu wale wanaohusika na kikundi cha waamini waliotahiriwa
|
||
|
|
||
|
Hii ni namna nyingine ya kuzungumzia juu ya Waumini Wayahudi
|
||
|
|
||
|
# Karama ya Roho Mtakatifu
|
||
|
|
||
|
Inaelezea juu ya Roho Mtakatifu mwenyewe aliyetolewa kwao.
|
||
|
|
||
|
# Roho Mtakatifu aliyemwagwa
|
||
|
|
||
|
Mungu alimtoa Roho Mtakatifu. "Zawadi ya bure"
|
||
|
|
||
|
# Pia na kwa mataifa
|
||
|
|
||
|
Neno "pia" linaonyesha ukweli kuwa Roho Mtakatifu alikuwa tayari ametolewa kwa Wayahudi waumini
|