forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
720 B
Markdown
28 lines
720 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Petro na Yohana wanajibu swali wa viongozi bila ya kuwa na woga.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Neno "wao" linafafanua juu ya Wayahydi kwa ujumla wao.
|
||
|
|
||
|
# Hata ilipofika asubuhi siku iliyofuata, kwamba
|
||
|
|
||
|
Kipengere hiki kilitumika hapa kuonyesha tukio lilipoanzia.
|
||
|
|
||
|
# wakuu wao, wazee na waandishi
|
||
|
|
||
|
Hii ni rejea kwa Sanhendrini, mahakama ya wazee wa kiyahudi kilichounganisha makundi haya matatu ya wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# Yohana, na Alexander
|
||
|
|
||
|
Wanaume hawa wawili walikuwa wajumbe wa familia ya Kuhani mkuu. Huyu siye yule Yohana Mtume.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nguvu gani
|
||
|
|
||
|
"nani aliyewapa nguvu" au "kitu gani kiliwapa nguvu." Walijua Petro na Yohana wasingemponya mtu kwa nguvu zao wenyewe.
|
||
|
|
||
|
# Kwa jina gani
|
||
|
|
||
|
"ni nani aliyewapa mamlaka"
|