forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
465 B
Markdown
16 lines
465 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Neni "sisi" linaelezea wanafunzi na wale wotewaliokuwa mashahidi wa kufufuka kwa Yesu baada ya kifo chake.
|
||
|
|
||
|
# Mungu alimfufua
|
||
|
|
||
|
Neno "alimfufua" Linaelezea kuwa Mungu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu.
|
||
|
|
||
|
# akiwa ameinuliwa katika mkono wa kuume wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Mungu alimwinia Yesu juu katika mkono wake wa kuume.
|
||
|
|
||
|
# yeye amemimina hii ahadi,
|
||
|
|
||
|
Neno "mimina" lina maana Yesu ambaye ni Mungu amefanya tukio hili litokee la kumtoa Roho Mtakatifu kwa waumini.
|