forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
682 B
Markdown
32 lines
682 B
Markdown
|
# alinitendea maovu mengi
|
||
|
|
||
|
"alitenda maovu dhizi yangu" au "alinitendea mambo mabaya "
|
||
|
|
||
|
# Bwana atamlipa kulingana na matendo yake
|
||
|
|
||
|
"Bwana atamuadhibu kutokana na aliyoyafanya"
|
||
|
|
||
|
# yeye, yake
|
||
|
|
||
|
Yote haya yanamaanisha Alexanda
|
||
|
|
||
|
# yeye alilipinga sana line neno letu
|
||
|
|
||
|
"Alipinga kwa jitihada kubwa ujumbe wetu" au "yeye alipinga sana maneno yetu"
|
||
|
|
||
|
# hakuna mtu yeyote aliyesimama nami, badala yake wote waliniacha
|
||
|
|
||
|
"hakuna aliyekaa na mimi na kunisaidia, badala yake , kila mmoja aliondoka"
|
||
|
|
||
|
# Tendo hilo lisihesabiwe dhidi yao
|
||
|
|
||
|
"mimi sitaki Mungu awaadhibu wale waumini kwa kuniacha mimi"
|
||
|
|
||
|
# Alekizanda
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# Mfua vyuma
|
||
|
|
||
|
"anayefanya kazi ya kutengeneza vyuma"
|