forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
984 B
Markdown
28 lines
984 B
Markdown
|
# Tafadhari usinifiche neno lolote nikuulizalo
|
||
|
|
||
|
Muundo wa kinyume umetumika hapa ili kusisitiza na unaweza kuelelezwa kwa muundo chanya. Yaani "tafadhari niambie ukweli kuhusu lolote ninalokuuliza"
|
||
|
|
||
|
# Je si mkono wa Yoabu uliopamoja nawe katika hili
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mkono" linaonesha ushawishi wa Yoabu.
|
||
|
|
||
|
# Kama uishivyo
|
||
|
|
||
|
"Hakika kama uishivyo." Hapa mwanamke analinganisha uhakika wa alichokisema Daudi amesema kwa hakika kwamba anaishi, ili kusisitiza jinsi taarifa ilivyo ya kweli
|
||
|
|
||
|
# Hakuna awezaye kuelekea mkono wa kulia... mfalme alivyosema
|
||
|
|
||
|
Hapa mwanamke anaeleza ugumu wa kuongea na mfalme na kumficha asigundue ukweli kwa kulinganisha na mtu asivyoweza kuelekea upande wowote.
|
||
|
|
||
|
# Mkono wa kulia au wa kushoto
|
||
|
|
||
|
Taarifa inatoa milengo miwili na inamaanisha "popote."
|
||
|
|
||
|
# Bwana wangu ni mwelevu
|
||
|
|
||
|
Bwana wangu mfalme ni mwenye hekima"
|
||
|
|
||
|
# Ni mwenye hekima, kama hekima ya malaika wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Mwanamke analinganisha hekima ya Daudi na ya malaika kusisitiza jinsi alivyo mwenye hekima.
|