forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
806 B
Markdown
32 lines
806 B
Markdown
|
# ukoo wote
|
||
|
|
||
|
"familia yangu yote"
|
||
|
|
||
|
# Mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Mwanamke anatumia jina hili kuonesha heshima yake kwa mfalme
|
||
|
|
||
|
# Kumwua
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuua
|
||
|
|
||
|
# Wangemwaribu na mrithi pia
|
||
|
|
||
|
Ikiwa wangemwua na ndugu mkosaji kusingekuwa na mwana aliyesalia kurithi mali ya familia.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo wangelizima hata kaa liwakalo lililosalia
|
||
|
|
||
|
Hapa mwanamke anarejerea kwa mwana pekee aliyesalia kama kaa liwakalo. Anazungumzia mtu kumwua mwanawe kama kulizima kaa liwakalo.
|
||
|
|
||
|
# Hawatamwachia mme wangu siyo jina wala mzao
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya.
|
||
|
|
||
|
# Siyo jina wala mzao
|
||
|
|
||
|
Hii inahusu mwna kubeba jina la familia kwa kizazi kijacho.
|
||
|
|
||
|
# juu ya uso wa nchi
|
||
|
|
||
|
"juu ya nchi." Kifungu hiki kinasisitiza familia isingeendelea kuwepo baada ya mme kufariki. "juu ya nchi" inamaanisha juu ya ardhi ambapo watu wanatembea.
|