forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
763 B
Markdown
20 lines
763 B
Markdown
|
# Hivyo kwa nini umedharau... Yahwe, hata kufanya maovu mbele zake?
|
||
|
|
||
|
Swali hili linatumika kumkemea Daudi. Yaani "haukupaswa kumdharau ... Yahwe na kufanya yaliyomaovu mbele zake!"
|
||
|
|
||
|
# Hata kufanya yaliyomaovu mbele zake
|
||
|
|
||
|
"Mbele" ya Yahwe inarejea kwa kile anachofikiri. Hii inazungumzia anachohesabu kuwa uovu halisi.
|
||
|
|
||
|
# Umemwua Uria Mhiti kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Daudi hakumwua Uria kwa mkono wake, bali alipanga Uria alivyouawa. Kifungu "kwa upanga" kinaonesha jinsi alivyokufa vitani.
|
||
|
|
||
|
# Ulimwua kwa upanga wa jeshi la Amoni
|
||
|
|
||
|
Inaonesha kwamba Daudi hakumwua kwa mkono wake bali alipanga jinsi ya kuuawa kwa Uria mkononi mwa Waamoni.
|
||
|
|
||
|
# Upanga hautaondoka nyumbani mwako
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "upanga" linaonesha watu wanaokufa vitani. "Nyumba" ya Daudi inarejerea wazawa wake.
|