forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
786 B
Markdown
28 lines
786 B
Markdown
|
# Hulda
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamke.
|
||
|
|
||
|
# Shalumu ... Tikva ... Harhasi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# mtunza kabati la nguo
|
||
|
|
||
|
Maana ziwezekanazo 1) mtu anayeangalia nguo ambazo makuhani huvaa katika hekalu au 2) mtu anayeangali nguo za mfalme.
|
||
|
|
||
|
# aliishi Yerusalemu katika mtaa wa pili
|
||
|
|
||
|
Hapa "theluthi ya pili" inarejea kwa sehemu mpya ambayo ilikuwa imejengwa kwa upande wa kaskazini mwa Yerusalemu. Pia, "aliishi Yerusalemu katika sehemu mpya ya Yerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# huyo mtu aliyekutuma kwangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "huyo mtu" inamrejea mfalme Yosia.
|
||
|
|
||
|
# Nitaleta msiba mahali pake na kwa wenyeji wake
|
||
|
|
||
|
Yahwe anafanya mambo mabaya yatokee imezungumzwa kana kwamba "msiba" ulikuwa kitu ambacho angekileta hiyo sehemu.
|
||
|
|
||
|
# hapa mahali
|
||
|
|
||
|
Hapa inarejea kwenye mji wa Yerusalemu ambao unawakilisha nchi yote ya Yuda.
|