forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
493 B
Markdown
28 lines
493 B
Markdown
|
# Senakerebu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mtu.
|
||
|
|
||
|
# Lakishi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|
||
|
|
||
|
# mji imara
|
||
|
|
||
|
Mji wenye kuta zilizoizunguka kwa ajili ya ulinzi.
|
||
|
|
||
|
# Nichukue
|
||
|
|
||
|
Haya maelezo yasadiki kwamba "mimi" inawakilisha ufalme wa Hezekia. "Chukua jeshi lako nje ya eneo langu"
|
||
|
|
||
|
# Popote utakaponiweka nitavumulia
|
||
|
|
||
|
"nitakulipa popote utakaponitaka"
|
||
|
|
||
|
# talanta
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la aina ya uzito ambao ulitumika kwa ajili ya pesa.
|
||
|
|
||
|
# hazina
|
||
|
|
||
|
Hapa palikuwa mahali katika mahali ambapo pesa na vitu vya thamani vilihifadhiwa.
|