forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
363 B
Markdown
16 lines
363 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hadithi ya utawala wa Mfalme Hezekia inaendelea.
|
||
|
|
||
|
# alishikamana na Yahwe
|
||
|
|
||
|
Ku "ambatana na Yahwe" ni picha ya kusema uaminifu na kuambatana. "Hezekia alikuwa mwaminifu kwa Yahwe" au "Hezekia alibaki mwaminifu kwa Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# na popote alipoenda alifanikiwa
|
||
|
|
||
|
"na popote Hezekia alipoenda alifanikiwa."
|
||
|
|
||
|
# mji imara
|
||
|
|
||
|
mji wenye ukuta uliouzunguka
|