forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
523 B
Markdown
16 lines
523 B
Markdown
|
# je yameandikwa .. Israeli?
|
||
|
|
||
|
Hili swali linatumika labda kujulisha au kukumbusha wasomaji hiyo habari kuhusu Menahemu ipo katika hiki kitabu. "yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Waflme wa Israeli."
|
||
|
|
||
|
# Menahemu akalala na wazee wake
|
||
|
|
||
|
Kulala inawakilisha kufa. "Menahemu alikufa kama wazee wake walivyokufa" au "kama wazee wake, Menahemu alikufa"
|
||
|
|
||
|
# Pekahia
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la kiume.
|
||
|
|
||
|
# kuwa mfalme katika mahali pake
|
||
|
|
||
|
Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaansha "badala ya yeye." "kuwa mfalme badala ya menahemu"
|