forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
730 B
Markdown
24 lines
730 B
Markdown
|
# hakika tafakarini
|
||
|
|
||
|
"elewa" au "kuwa makini usipingika kwamba"
|
||
|
|
||
|
# hakuna sehemu ya neno la Yahwe ... litaanguka kwenye nchi
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia kila kitu kinachotokea kwamba Yahwe amesema kitatokea kana kwamba kilikuwa kitu ambacho kilikuwa kimekufa na kuanguka katika nchi.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe amefanya
|
||
|
|
||
|
Hii inamzungumzika Yahwe kuufanya uzao wa Ahabu kuuawa kana kwamba amewaua yeye. "Yahwe amefanya itokee"
|
||
|
|
||
|
# Hivyo Yehu aliwaua wote ... na makuhani wake
|
||
|
|
||
|
Yehu hakuwaua hawa watu wote mwenyewe, isipokuwa aliwaamuru wauawe. "Hivyo Yehu aliwaamuru wote ... kuuwa"
|
||
|
|
||
|
# wote waliosalia
|
||
|
|
||
|
"wote waliokuwa hai" au "wote waliokuwa wameondoka"
|
||
|
|
||
|
# hakuna hata mmoja wao alisalia
|
||
|
|
||
|
hii inamaanisha kwamba wote wote waliuawa. au "hadi wote walipokufa"
|