forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
649 B
Markdown
20 lines
649 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Nabii mdogo anaendelea kunena maneno ya Yahwe kwa Yehu, ambaye alikuwa amepakwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba Mungu atamwangamiza Ahabu na familia yake kama alivyomwangamiza Yeroboamu na Baasha na familia zao. "nitaiendesha nyumba ya Ahabu kama ninavyoiendesha ya"
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya
|
||
|
|
||
|
Hili neno limetumika katika huu mstari mara tatu. Kila wakati, neno "nyumba" linarejea kwa "familia" ya mtu maalumu. "familia ya"
|
||
|
|
||
|
# Nebati ... Ahiya
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Mbwa watamla Yezebeli
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba mbwa wataila maiti yake. "Mbwa wataila maiti ya Yezebeli"
|