sw_tn/2ki/09/09.md

20 lines
649 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla:
Nabii mdogo anaendelea kunena maneno ya Yahwe kwa Yehu, ambaye alikuwa amepakwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli.
# Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama
Hii inamaanisha kwamba Mungu atamwangamiza Ahabu na familia yake kama alivyomwangamiza Yeroboamu na Baasha na familia zao. "nitaiendesha nyumba ya Ahabu kama ninavyoiendesha ya"
# nyumba ya
Hili neno limetumika katika huu mstari mara tatu. Kila wakati, neno "nyumba" linarejea kwa "familia" ya mtu maalumu. "familia ya"
# Nebati ... Ahiya
Haya ni majina ya wanaume.
# Mbwa watamla Yezebeli
Hii inamaanisha kwamba mbwa wataila maiti yake. "Mbwa wataila maiti ya Yezebeli"