forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
309 B
Markdown
12 lines
309 B
Markdown
|
# tazama
|
||
|
|
||
|
Mwandisha anatumia neno "tazama" kupeleka umakini kwa kile kifuatacho.
|
||
|
|
||
|
# manahodha wa jeshi walikuwa wameketi
|
||
|
|
||
|
Yehu alikuwa ameketi miongoni mwa manahodha. "Yehu na baadhi maafisa wa majeshi mengine waliokuwa wameketi pamoja"
|
||
|
|
||
|
# Yupi kati yetu
|
||
|
|
||
|
Neno "sisi" linarejea kwa Yehu na manahodha wengine.
|