sw_tn/2ki/07/07.md

12 lines
395 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla
Hivi ndivyo ilivyotokea baada ya Bwana kusababisha maaskari Washami kufikiri wamesikia jeshi kubwa la adui linakaribia kambi yao.
# jioni
Hii inarejea jioni mapema baada ya jua kuzama, lakini nyuma yake ni giza.
# nyara
Hii inarejea kwa vitu ambavyo huchukuliwa na jeshi lililoshinda kutoka jeshi jingine ambalo limeshindwa. Hapa inarejea kwa "fedha na dhahabu na nguo."