forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.0 KiB
Markdown
32 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Kama sivyo
|
||
|
|
||
|
Maneno yanayokosekana yanaweza kuongezwa. "Kama hutachukua zawadi nilizokuletea"
|
||
|
|
||
|
# acha apewe mtumishi wako huko
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji.
|
||
|
|
||
|
# mzigo wa baghala mbili za aridhi
|
||
|
|
||
|
Naamnai anauliza kuchukua udongo kutoka Israeli na kuuweka kwenye magunia kwa baghala mbili kubeba nyumbani pamoja naye. Kisha alipanga kujenga madhabahu kwenye udongo.
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Naamani anajirejea mwenyewe kama mtumishi wa Elisha kumheshimu.
|
||
|
|
||
|
# hatotoa tena sadaka ya kuteketezwa wala dhabihu kwa mungu yeyote isipokuwa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuandikwa katika muundo chanya. "hatatoa sadaka ya kuteketeza au dhabihu kwa mungu yeyote isipokuwa Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# wakati mfalme wangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamrejea mfalme wa Shami, mfalme ambaye Naamani alimtumikia.
|
||
|
|
||
|
# akajifunza kwenye mkono wangu
|
||
|
|
||
|
"alijisaidia mwenyewe juu ya mkono wangu." Hii inamaanisha kwamba Naamani humsaidia mfalme wakati ainapo katika nyumba ya Rimoni kwa sababu mfalme ni mzee au anaumwa.
|
||
|
|
||
|
# Nenda kwa amani
|
||
|
|
||
|
"Nenda nyumbani na usiwe na wasi" au "ondoka bila wasi"
|