forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
508 B
Markdown
16 lines
508 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Elisha alizungumza na Mfalme wa Israeli kuhusu Naamani.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini umechana mavazi yako?
|
||
|
|
||
|
Elisha anauliza swali hili lisilo na majibu kusisitiza kwa mfalme kwamba hahitaji kuwa na huzuni na kuchana mavazi yake.
|
||
|
|
||
|
# mwili wako utarudishwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuandikwa katika umbo tendaji. "mwili wako utapona"
|
||
|
|
||
|
# utakuwa msafi
|
||
|
|
||
|
hii inamaanisha kwamba hatakuwa najisi tena. Mtu ambaye Mungu anamfikiria kiroho hatakiwi au najisi anazunguziwa kana kwamba huyo mtu alikuwa alikuwa mchafu kimwili.
|