forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
442 B
Markdown
20 lines
442 B
Markdown
|
# wana wa manabii
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, walikuwa kundi la manabii.
|
||
|
|
||
|
# Mtumishi wako mume wangu
|
||
|
|
||
|
"Mume wangu, aliyekuwa mtumishi wako"
|
||
|
|
||
|
# mwia
|
||
|
|
||
|
mtu atoaye pesa kwa wengine
|
||
|
|
||
|
# Watumishi wako hawana kitu
|
||
|
|
||
|
Mwanamke anajirejea mwenyewe kama mtumishi wa Elisha kumuonyesha heshima.
|
||
|
|
||
|
# hakuna kitu katika nyumba, isipokuwa sufuria ya mafuta
|
||
|
|
||
|
Kitu pekee cha thamani alichokuwa nacho kilikuwa chupa ya mafuta.
|