forked from WA-Catalog/sw_tn
56 lines
1.4 KiB
Markdown
56 lines
1.4 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anawakumbusha waamini wa Korintho juu ya ishara za kweli za mtume na uvumilivu wake mbele zao kuwatia nguvu.
|
||
|
|
||
|
# Mimi nimekuwa mpumbavu
|
||
|
|
||
|
"ninatenda kama mpumbavu"
|
||
|
|
||
|
# mlinilazimisha kwa hili
|
||
|
|
||
|
"mlinilazimisha kuongea kwa njia hii"
|
||
|
|
||
|
# nilipaswa kusimesifiwa na ninyi.
|
||
|
|
||
|
"ni sifa ambayo mlipaswa kunipa"
|
||
|
|
||
|
# sifa
|
||
|
|
||
|
" Ina maanisha "sifa" na "kushuhudiwa"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa sikuwa duni
|
||
|
|
||
|
"kwa kutumia kauli ya kukanusha, anasema kwa nguvu kwamba hao wakorintho wanaodhani kuwa yuko duni hawako sahihi.
|
||
|
|
||
|
# mitume--bora
|
||
|
|
||
|
Mitume-Paulo anatumia neno hili kwa kejeli kuonyesha kuwa hawana umuhimu kama wanavyodai.
|
||
|
|
||
|
# Ishara za kweli za mtume zilifanyika
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii ionaweza kutafsiriwa katika kauli tendaji pamoja na msisitizo juu ya "ishara"
|
||
|
|
||
|
# ishara....ishara
|
||
|
|
||
|
Tumia maneno yote kwa wakati mmoja
|
||
|
|
||
|
# ishara na maajabu
|
||
|
|
||
|
Kuna ishara za "kweli za mitume" ambazo Paulo alizitenda kwa uvumilivu mwingi.
|
||
|
|
||
|
# Kwa namna gani mlikuwa wa muhimu wa chini kuliko makanisa... isipokuwa ...ninyi
|
||
|
|
||
|
Paulo anasisitiza kuwa Wakorintho wanafanya makosa kumshitaki Paulo kwa kutaka kuwaumiza.
|
||
|
|
||
|
# sikuwa mzigo kwenu
|
||
|
|
||
|
"sikuwaomba pesa au vitu vingine nilivyohitaji"
|
||
|
|
||
|
# Mnisamehe kwa kosa hili
|
||
|
|
||
|
Paulo amekuwa mwenye kukejeli kuwaaibisha Wakorintho. Pia yeye na wao wanajua kuwa hajafanya baya lolote, lakini wanamfikiria kuwa kama amewakosea
|
||
|
|
||
|
# kwa kosa hili
|
||
|
|
||
|
kuto waomba pesa na mahitaji mengine aliyohitaji
|