forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.0 KiB
Markdown
28 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# mlichukuliana na wapumbavu
|
||
|
|
||
|
"nikubali mimi ninapotenda kama mpembavu"
|
||
|
|
||
|
# ninyi wenyewe mna busara
|
||
|
|
||
|
Paulo ana waaibisha Wakorintho kwa ktumia kinyume au kejeli.
|
||
|
|
||
|
# akikutia utumwani
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia juu ya sheria ambazo Mungu hakuzifanya lakini baadhi ya watuwaliwalazimisha wengine kutii kana kwamba ilikuwa utumwa.
|
||
|
|
||
|
# yeye huwaharibu ninyi
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia juu ya utume ulio bora kuchukua raslimali ya vitu vya watu kana kwamba ilikuwa kuwala watu wenyewe.
|
||
|
|
||
|
# akiwatumia ninyi kwa faida yake
|
||
|
|
||
|
Mtu anayechukua fursa ya mtu mwingine kwa kujua vitu ambavyo mtu mwingine havifahamu, na kuyatumia hayo maarifa kumsaidia yeye mwenyewe na kumwumiza mtu mwingine.
|
||
|
|
||
|
# Nitasema kwa aibu yetu kwamba sisi tukuwa dhaifu sana kufanya hivyo
|
||
|
|
||
|
Kwa aibu ninakiri kwamba hatukuwa wenye nguvu vya kutosha kuwatendae ninyi hivyo. Paulo anatumia neno la kinyume kuonyesha kuwa siyo kwa sababu alikuwa dhaifu hivyo aliwatendea wao vizuri.
|
||
|
|
||
|
# Na bado kama yeyote akijivuna.... mimi pia nitajivuna.
|
||
|
|
||
|
"vyovyote mtu akijisifu, juu ya....mimi pia sitaogopa kufanya hivyo"
|