sw_tn/2co/09/10.md

28 lines
742 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Naye atoaye
"Mungu atoaye"
# mkate kwa ajili ya chakula
Hapa nenp "mkate" lina maanisha chakula kwa ujumla"
# pia atatoa na kuzidisha mbegu yenu kwa ajili ya kupanda
paulo anazungumza mali za Wakorintho kama vile zilikuwa mbegu za kuwapa wengine kama vile wanapanda mbegu.
# Yeye ataongeza mavuno ya haki yenu.
paulo analinganisha faida ambazo Wakorintho watapokea kutokana na ukarimu wao kwa mavuno hayo.
# mavuno ya haki yenu
"mavuno ambayo yanatokana na matendo ya haki." Hapa neno "haki" linamaanisha matendo ya haki ya Wakorintho kwa kutoa raslimali zao kwa waamini katika Yerusalemu.
# Mtatajirishwa
"Mungu atawatajirisha"
# Hii italeta shukrani kwa Mungu kupitia sisi.
Neno :hii" linamaanisha ukarimu wa Wakorintho"