forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
554 B
Markdown
20 lines
554 B
Markdown
|
# pamoja nao
|
||
|
|
||
|
Neno "wao"linamaanisha Tito na ndugu wengine walioorodheshwa hapa kabla.
|
||
|
|
||
|
# yeye ni mshirika mwenza wangu na mtendakazi mwenzangu kwa ajili yenu
|
||
|
|
||
|
"yeye ni mshirika mwenzangu anayetenda kazi pamoja nami kwa ajili yenu"
|
||
|
|
||
|
# Kama kwa ndugu zetu
|
||
|
|
||
|
Ina maanisha kwa wanume wawili wengine ambao wataungana na Tito.
|
||
|
|
||
|
# wanatumwa na makanisa.
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii yaweza kusemwa katika kauli tendaji hivi: "makanisa yamewatuma wao"
|
||
|
|
||
|
# Ni waheshima kwa Kristo
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii yaweza kusemwa katika kauli tendaji hivi: "watawasababisha watu kumheshimu Kristo"
|